Matukio : Tume ya Mipango yazindua muongozo wa usimamizi na utayarishaji wa miradi ya uwekezaji katika sekta ya Umma - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


25 Apr 2016

Matukio : Tume ya Mipango yazindua muongozo wa usimamizi na utayarishaji wa miradi ya uwekezaji katika sekta ya Umma



Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango akitoa hotuba katika mkutano wa uzinduzi wa kitabu cha Mwongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika sekta ya Umma kilichofanyika mjini Dodoma.


Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango akionesha kitabu cha Muongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika sekta ya Umma (Public Investment Management Operational Manual), kulia ni Kaimu katibu mtendaji wa Tume ya Mipango Bibi Florence Mwanri na kushoto ni katibu tawala wa Mkoa wa Dodoma Bibi Rehema Madenge.


Wataalamu wa uchumi, sera na mipango wakiwa katika hali ya umakini wakati wakifuatilia kinachoendelea wakati wa mkutano.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango (wa tano kutoka kushoto kwa waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano mara baada ya uzinduzi wa kitabu cha Muongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika sekta ya Umma.
Kaimu naibu katibu mtendaji kutoka Tume ya Mipango anayesimamia klasta ya uchumi jumla, Dk. Lorah Madete akijibu  hoja zilizotolewa na wajumbe  katika kipindi cha majadiliano.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad