Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ) Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC kwa njia ya Mtandao pamoja na viongozi mbalimbali, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 13 Machi, 2025. Mkutano huo pamoja na mambo mengine unajadili hali ya ulinzi na usalama Mashariki mwa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
BARRICK YAWEZESHA NA KUSHIRIKI KONGAMANO LA KUWAJENGEA UWEZO WANAFUNZI WA
VYUO VIKUU ZANZIBAR
-
Mkurugenzi wa Vijana,Wizara ya Habari,Vijana na Michezo Zanzibar,Shaibu
Ibrahim Muhamed ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea na Wanafunzi na wageni
waalikw...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment