Matukio : Rais Dkt Samia Ashiriki Mkutano wa Daharura kwa Njia ya Mtandao, Dodoma - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 14 March 2025

demo-image

Matukio : Rais Dkt Samia Ashiriki Mkutano wa Daharura kwa Njia ya Mtandao, Dodoma


WhatsApp%20Image%202025-03-13%20at%2014.47.05
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ) Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC kwa njia ya Mtandao pamoja na viongozi mbalimbali, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 13 Machi, 2025. Mkutano huo pamoja na mambo mengine unajadili hali ya ulinzi na usalama Mashariki mwa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

WhatsApp%20Image%202025-03-13%20at%2014.47.04

WhatsApp%20Image%202025-03-13%20at%2014.46.59

WhatsApp%20Image%202025-03-13%20at%2014.47.00

WhatsApp%20Image%202025-03-13%20at%2014.47.02

WhatsApp%20Image%202025-03-13%20at%2014.47.03

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *