Mkurugezi
Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akifungua semina ya
Wanahisa wa Benki ya CRDB katika ukumbi wa AICCjijini Arusha leo.
Mwrnyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya CRDB, Martin Mmari akizungumza wakati wa semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB.
Mwanahisa akiuliza swali.
Wajumbe wa bodi.
Katibu wa Benki, John Rugambwa akizungumza wakati wa semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB.
Wanahisa.
Baadhi ya maofisa wa Benki ya CRDB wakiwa katika semina hiyo.
Wanahisa.
Wanahisa wakifuatilia semina hiyo.
Meneja
Mwandamizi Huduma za Uwakala, Jessica Nyachiro akitoa mada kuhusu Fursa
kupitia Uwakala wa Benki ya CRDB, wakati wa semina ya Wanahisa wa
benkihiyo iliyofanyika katika ukumbi wa AICC jijini Arusha.
Mkurugenzi wa Masoko Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa (kushoto) akifuatilia semina hiyo.
Prof.
Mohamed Warsame kutoka Kampuni ya Dhow Financials akitoa mada kuhusu
Ukuzaji wa Mitaji kwa Kampuni iliyoorodheshwa Soko la Hisa.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Skyward Deluxe Imeibariki Mei Kwa Ushindi wa Moto
-
KAMA unapenda michezo yenye msisimko, nafasi za ushindi na zawadi
zinazoshuka kila siku, basi Skyward Deluxe kutoka Meridianbet ndiyo sehemu
yako mwez...
TABORA YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI MADINI
-
*Na Mwandishi wetu, Tabora*
*Serikali imewataka wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika
sekta ya madini mkoani Tabora ili kuchochea ukuaji w...
Msizuie wanafunzi kufanya Mitihani - Dkt. Mwigulu
-
**Asema Serikali itaendelea kuongeza fedha za mikopo ya elimu ya juu*
* WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka taasisi za elimu nchini
kutowazuia wa...
Africa, Redefined: Mobila Safaris at Indaba 2026
-
The wait is over. Africa’s most iconic landscapes are calling, and we’re
here to hand you the keys.
*Mobila Safaris is officially live at Stand DEC...
TCAA Yatoa Msaada kwa Kituo cha Tupendane Dodoma
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), kama sehemu ya kurudisha kwa
jamii, imetoa msaada katika kituo cha kulelea watoto cha Tupendane
kilichopo ji...
No comments:
Post a Comment