CEO wa Makampuni ya MeTL Group na Mbunge wa Jimbo la Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji (kulia) katika picha ya pamoja na Rais wa Mozambique, Mh. Filipe Nyusi walipokutana jijini Dar es Salaam. Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama Rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu nchini Tanzania.
TUME YAWATAKA WAENDESHA BVR DAR KUFUATA SHERIA, KUTUNZA VIFAA
-
*Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs
Mwambegele (katikati) akizungumza na washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya
Waa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment