Nishati Zetu : Dk. Ali Mohamed Shein Azindua mradi wa Umeme Kijiji cha Dongongwe kati ,Unguja - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 19 December 2014

demo-image

Nishati Zetu : Dk. Ali Mohamed Shein Azindua mradi wa Umeme Kijiji cha Dongongwe kati ,Unguja

IMG_9732
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZEC) Hassan Ali Mbarouk wakati alipofika Kijiji cha Dongongwe Wilaya ya Kati Unguja kuzindua Nishati ya Umeme.
IMG_9733
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mohamed Raza wakati alipofika Kijiji cha Dongongwe Wilaya ya Kati Unguja kuzindua Nishati ya Umeme.
IMG_9743
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZEC) Hassan Ali Mbarouk (katikati) wakati alipofika Kijiji cha Dongongwe Wilaya ya Kati Unguja kuzindua Nishati ya Umeme (kulia)Waziri wa Ardhi,Makaazi,Maji na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban (wa pili kulia) Mbunge wa Jimbo la Uzini Mohamed Seif Khatib na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Dk.Idriss Muslim Hija.
IMG_9749
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuzindua Nishati ya Umeme Kijiji cha Dongongwe Wilaya ya Kati Unguja (kushoto) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Dk.Idriss Muslim Hija (kutoka kulia) Waziri wa Ardhi,Makaazi,Maji na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban, Mbunge wa Jimbo la Uzini Mohamed Seif Khatib na Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZEC) Hassan Ali Mbarouk.
IMG_9773
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiingiza namba katika fungua pazia kuzindua Nishati ya Umeme Kijiji cha Dongongwe Wilaya ya Kati Unguja (kushoto) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Dk.Idriss Muslim Hija (kutoka kulia) Waziri wa Ardhi,Makaazi,Maji na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban, Mbunge wa Jimbo la Uzini Mohamed Seif Khatib na Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZEC) Hassan Ali Mbarouk.
IMG_9783
Baadhi ya wananchi na Wazee wa vijiji vya Jimbo la Uzini wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Umeme Kijiji cha Dongongwe Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
IMG_9792
Baadhi ya wananchi na Wazee wa vijiji vya Jimbo la Uzini wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake katika hafla ya uzinduzi wa Umeme Kijiji cha Dongongwe Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja uliofanyika asubuhi.
IMG_9795
Akinamama waliohudhuria katika hafla ya uzinduzi wa Umeme Kijiji cha Dongongwe Wilaya ya Kati Jimbo la Uzini Mkoa wa Kusini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake katika hafla ya uzinduzi wa Umeme.
IMG_9836
Meneja wa Shirika la Umeme ZECO Hassan Ali Mbarouk alipokuwa akisoma Risala ya Shirika mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakati wa Uzinduzi wa Umeme katika Kijiji cha Dongongwe Wilaya ya Kati Jimbo la Uzini Mkoa wa Kusini Unguja. [Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *