Channel
O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari
mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage ambapo magari
yaliyotumika yote yanatengenezwa South Africa.
Furaha ya Watanzania ilikua kubwa baada ya kuona kijana kutoka nyumbani Tanzania Diamond Platnumz kushinda tuzo tatu kati ya nne alizokuwa anawania Most Gifted East, Most Gifted Afro Pop na Most Gifted Newcomer yaani msanii mpya.
Kwenye tuzo hizi Diamond aliambatana na mama yake mzazi pamoja na mrembo Zari wa Uganda ambae wamekua wakitajwa kwenye headlines sana na Diamond hivi karibuni.
Watangazaji waliohost show kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
Crazy but Amazing-Donald
Most Gifted West Video
‘Turn Up-Olamide
Most Gifted Ragga/Dancehall
Buffalo Soulja
The Most Gifted Kwaito
Uhuru ft Oskido & Professor Kalawa -tjukutja
Most Gifted East Video
Diamond Platnumz
Most Gifted Dance Video
Busiswa-Ngoku
Most Gifted Hip Hop Video
AKA- Congratulate
Zari, Diamond na mama yake mzazi baada ya ushindi wa tuzo 3
Diamond Platnumz
Most Gifted duo/group/featurning
KCEE ft Wizkid-Pull Over
Most Gifted Video of the Year
Carsper Nyovest- Doc Shebeleza
.
Diamond Platnumz
Most Gifted Male Video
Casper Nyovest-Doc Shebeleza
Most Gifted Female Video
Tiwa Savage-Eminado
Rapper A.K.A kutoka South Africa
Kama Casper asingeshinda tuzo hiyo ya tatu basi Diamond ndio angekua amebeba tuzo nyingi zaidi kuliko msanii mwingine yeyote.
.
Diamond kwenye stage baada ya ushindi wa moja kati ya tuzo zake
.
Diamond alipewa heshima ya kutoa tuzo pia vilevile
Diamond Platnumz akizungumza machache baada ya kushindi ya Most Gifted Afro Pop
Hawa ndio mameneja watatu wa Diamond Platnumz, Babtale , Salam na Said Fela.
Mtangazaji na Mwimbaji Vanessa Mdee akichukua Selfie na Diamond na Babu Tale baada ya ushindi wa tuzo tatu.
Mameneja wa Diamond Platnumz wakiwa na furaha baada ya ushindi.
Mtangazaji
Shadee wa Clouds TV kwenye interview na Carsper Nyovest wa South
Africa ambaye naye amenyakua tuzo tatu kama Diamond Platnumz.
Diamond , Madam Rita na Salama Jabir
Diamond na Zari.
No comments:
Post a Comment