Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (kushoto) na Rais wa Afrika ya Kusini, Jacob Zuma
wakifurahia burudani ya ngoma za asili, wakati wakiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere, Rais Zuma alipokuwa akiondoka baada ya kumaliza
ziara yake ya siku moja nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (kushoto) na Rais wa Afrika ya Kusini, Jacob Zuma
wakifurahia burudani ya ngoma za asili, wakati wakiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere, Rais Zuma alipokuwa akiondoka baada ya kumaliza
ziara yake ya siku moja nchini
Rais wa Afrika ya
Kusini, Jacob Zuma na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, wakikagua gwaride la heshima, wakati Rais huyo wa Afrika
ya kusini, akiondoka nchini baada ya kumaliza ziara yake ya siku moja.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Rais wa Afrika ya Kusini, Jacob Zuma, Uwanja
wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, wakati akiondoka nchini baada ya
kumaliza ziara yake ya siku moja. Picha na OMR
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi (S...
1 hour ago




No comments:
Post a Comment