Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akikagua mafunzo kwa vitendo ya Waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya biometriki (BVR) kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya mkoani Mbeya leo Desemba 24, 2024. Mkoa wa Mbeya, Iringa na Halmashauri ya Mpwapwa Mkoani Dodoma inataraji kuanza uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Desemba 27 mwaka huu hadi Januari 02, 2025. (Picha na INEC).
DKT. KUHENGA AELEZA ALIVYOSHUHUDIA SAFARI YA SANGA NA BENSON
-
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM — Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dkt. Dotto
Kuhenga, amewapongeza Dkt. Frank Sanga na Dkt. Alex Bens...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment