Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akikagua mafunzo kwa vitendo ya Waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya biometriki (BVR) kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya mkoani Mbeya leo Desemba 24, 2024. Mkoa wa Mbeya, Iringa na Halmashauri ya Mpwapwa Mkoani Dodoma inataraji kuanza uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Desemba 27 mwaka huu hadi Januari 02, 2025. (Picha na INEC).
MASHIRIKA YA UMMA YAONGEZE TIJA YALETE GAWIO SERIKALINI
-
Na Khadija Kalili Michuzi TV
Msewa, Kibaha.
Msajili wa Hazina na CAG kushirikiana katika usimamizi wa Mashirika ya Umma
wamekutana kwa siku mbili ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment