Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akikagua mafunzo kwa vitendo ya Waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya biometriki (BVR) kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya mkoani Mbeya leo Desemba 24, 2024. Mkoa wa Mbeya, Iringa na Halmashauri ya Mpwapwa Mkoani Dodoma inataraji kuanza uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Desemba 27 mwaka huu hadi Januari 02, 2025. (Picha na INEC).
TUME YA MADINI YAWAALIKA WADAU KUTUMIA MAABARA YA KISASA
-
*Meneja wa Huduma za Maabara ya Tume ya Madini, Mhandisi Mwarabu Mvunilwa
amewaalika wadau wa sekta ya madini nchini kutumia maabara ya kisasa ya
Tume ...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment