Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akikagua mafunzo kwa vitendo ya Waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya biometriki (BVR) kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya mkoani Mbeya leo Desemba 24, 2024. Mkoa wa Mbeya, Iringa na Halmashauri ya Mpwapwa Mkoani Dodoma inataraji kuanza uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Desemba 27 mwaka huu hadi Januari 02, 2025. (Picha na INEC).
OFISI YA WAZIRI MKUU YAINOA TIMU YA KUKABILIANA NA MAAFA MKOA WA DODOMA
-
Na Mwandishi wetu- DODOMA
KATIBU Tawala Mkoa wa Dodoma, Dkt. Khatibu Kazungu, amesema Ofisi yake
ikishirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu Idara ya Menejime...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment