Siasa Zetu : Katibu wa CCM Atoa heshima kwenye mnara wa shujaa aliyetungua ndege mbili za kireno katika vita vya ukombozi wa msumbiji - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


29 Nov 2014

Siasa Zetu : Katibu wa CCM Atoa heshima kwenye mnara wa shujaa aliyetungua ndege mbili za kireno katika vita vya ukombozi wa msumbiji


 Wananachi wakimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili Wilaya ya Mtwara Vijijini, wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. 


 Kinana akizungumza wakati wa mapokezi katika Kijiji cha Kibaoni, Mtwara Vijijini.
 Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika Katika Kijiji cha Nanguruwe, Wilaya Mtwara Vijijini
 Mzee Ismail Lumbeya (95), akisikiliza kwa makini wakati Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Nanguruwe
Mnara wa Kumbukumbu ya Mwanajeshi wa Tanzania , Hamad Mzee aliyeuawa na ndege ya kivita ya wareno baada ya kuzitungua ndege mbili za kivita mwaka  1972 katika Kijiji cha Kitaya mpakani mwa Msumbiji na Tanzania wakati wa mapambano ya kuikomboa Msumbiji

 Kinana akitoa heshima katika mnara wa kumbukumbu shujaa Hamad Mzee katika Kijiji cha Kitaya, Mtwara Vijijini
 Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa hadhara katika Kata ya Kitaya
 Ngoma ya asili ikitumbuiza wakati wa mkutano huo

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad