Sintofahamu iliyotokea kwenye kikao cha Bunge mjini Dodoma Ijumaa Novemba
28, 2014 imepelekea Spika Anne Makinda (pichani) kulazimika kusitisha
shughuli za Bunge mpaka hapo watapojadiliana tena. Hii ni baada ya majadiliano makali kuhusu kuwajibishwa ama la kwa viongozi
wanaohusika na sakata la akaunti ya Escrow. Hali hii iliibuka baada ya
Mwenyekiti wa CHADEMA na kambi ya upinzani Bungeni Mhe Freeman Mbowe
kuinuka na kusema kuwa Bunge kufikisha saa tano kasoro ni historia, na
kwamba kuna uzito wa kiti na uzito wa wabunge kutoka maamuzi kwa mamlaka
ambayo yako ndani yao. Kwa maelezo zaidi
Bofya hapa >>>
No comments:
Post a Comment