Tanzania leo imekabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Afrika
Mashariki baada ya Kenya kumaliza muda wake wa kipindi cha mwaka mmoja.Waziri wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mh. Samuel Sitta na
Katibu Mkuu Bi. Joyce Mapunjo walipokea Uenyekiti huo katika Mkutano wa
Baraza wa Mawaziri uliofanyika leo katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano
wa Kenyatta (KICC), Jijini Nairobi, Kenya. Rais wa Tanzania anatarajiwa kupokea Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki siku ya Jumapili katika Mkutano wa 16 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya
utakaofanyika pia hapa KICC.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Kijana wa Mtwara Avunja Ukimya wa Hedhi Salama
-
*Na Mohammed Hammie*
*Wakati masuala ya hedhi yakiendelea kuzungumzwa kwa sauti ya chini katika
jamii nyingi, kijana mmoja kutoka kijiji cha Lipwidi mkoan...
No comments:
Post a Comment