![]() |
| Kituo cha ITV kitakuwa kinarusha vipindi vya TANZANIA MOVIE TALENTS kuanzia Jumamosi ya Mei 17,2014 ,Vipindi hivyo vinaibua vipaji vya uigizaji na uchekeshaji Tanzania nzimakupitia kampuni ya PROIN PROMOTIONS, kwenye mchaato wa kusaka vipaji hivyo yuko LULU, JOTI , MC PiliPili na wengine. |
WANAFUNZI WA MRIJO JUU WANUFAIKA NA MSAADA WA VIFAA VYA HEDHI KUIMARISHA
ELIMU YA WASICHANA
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Mrijo Juu iliyopo wilayani
Chemba mkoani Dodoma wamepata nafuu ya changamoto zi...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment