![]() |
| Kituo cha ITV kitakuwa kinarusha vipindi vya TANZANIA MOVIE TALENTS kuanzia Jumamosi ya Mei 17,2014 ,Vipindi hivyo vinaibua vipaji vya uigizaji na uchekeshaji Tanzania nzimakupitia kampuni ya PROIN PROMOTIONS, kwenye mchaato wa kusaka vipaji hivyo yuko LULU, JOTI , MC PiliPili na wengine. |
SERIKALI YATOA SIKU 3 KWA WACHIMBAJI, WANUNUZI KUWASILISHA GHARAMA ZA
UZALISHAJI JASI
-
*Na Mwandishi wetu, Dodoma*
*Wizara ya Madini imetoa siku tatu kwa wachimbaji na wanunuzi wa madini ya
jasi kuwasilisha mchanganuo wa gharama za uzali...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment