Naibu
Waziri wa Fedha akisalimiana na Wahadhiri wa Chuo Cha Uhasibu Arusha
mara baada ya Kuwasili tayari kwaajili ya Kuongoza Mahafali ya Kwanza ya
Wanafunzi wa Kutoka Nchi za SADC na EAC waliokuwa wanasomea kozi za
Masomo ya Strategic Programmes.
Naibu
Waziri wa Fedha Mh.Mwigulu Nchemba akiwa kwenye Matembezi ya pamoja na
Wahitimu kuelekea eneo la Mahafali katika Ukumbi wa Chuo cha
IAA,Matembezi haya yaliongozwa na BlassBand ya Jeshi.





No comments:
Post a Comment