REST IN PEACE : WAZIRI WA FEDHA DKT. WILLIAM MGIMWA AFARIKI DUNIA, NCHINI AFRIKA KUSINI. - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Thursday, 2 January 2014

demo-image

REST IN PEACE : WAZIRI WA FEDHA DKT. WILLIAM MGIMWA AFARIKI DUNIA, NCHINI AFRIKA KUSINI.


mgimwa2011
Habari zilizoufikia mtandao huu hivi punde zinasema kuwa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dkt. William Mgimwa amefariki dunia huko nchini Afrika ya Kusini alikokuwa amelazwa katika Hospitali ya Mediclinic Kloff. 

Habari zaidi kuhusu msiba huu zitawajia kadri zitakavyokuwa zikipatikana. Mungu ilaze roho ya marehemu, Dkt. Mgimwa mahala pema , Amina.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *