This is Simba! : Timu ya Simba SC Yaibamiza Yanga kwa penati 5 -4 - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


24 Aug 2017

This is Simba! : Timu ya Simba SC Yaibamiza Yanga kwa penati 5 -4



Mashabiki wa timu ya Simba

Mashabiki wa timu ya Yanga

Kikosi cha timu ya Simba

Kikosi cha timu ya Yanga

Kiungo wa Yanga Haruna Niyonzima akiwania mpira wa mshambuliaji wa Yanga Donald ngoma katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Ngao ya Jamii unaoendelea hivi Uwanja wa Taifa.

Kiungo wa Yanga Rafael Daud akimruka beki wa Simba Method Mwanjali katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Ngao ya Jamii unaoendelea hivi sasa Uwanja wa Taifa

Beki wa kati wa Yanga Kelvin Yondani na mshabuliaji wa Simba Laudit Mavugo wakigombania mpira katika mchezo wa ufunguzi wa ligi wa Ngao ya Jamii unaoendelea hivi sasa Uwanja wa Taifa.

Mshambuliaji wa Yanga Donald Ngoma akimruka beki wa Simba Method Mwanjali katika mchezo wa ufunguzi wa ligi wa Ngao ya Jamii unaoendelea sasa hivi Uwanja wa Taifa

Golikipa Rostand Youthe akiruka juu na kudaka mpira akiwa sambamba na mshabuliaji wa Simba Emanuel Okwi.

Kiungo wa Simba Haruna Niyonzima akipiga pigo la adhabu nje ya kumi na nane

Mshambuliaji wa Yanga Donald Ngoma akipambana na beki wa kati wa Simba Salim Mbonde katika mchezo wa ufunguzi wa ligi Ngao ya Jamii.


Simba waliifunga Yanga kwa Penati ya Bao 5-4 ,baada ya kutoka sare ya bila kufungana na kupelekea kupigwa kwa mikwaju ya penati.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad