Siasa/Politics : Maadhimisho ya Miaka 40 ya CCM Yafanyika Dodoma - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


6 Feb 2017

Siasa/Politics : Maadhimisho ya Miaka 40 ya CCM Yafanyika Dodoma





Katibu Mkuu wa CCM, Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akihutubia katika sherehe za Kilele cha Miaka 40 ya CCM mkoa wa Dodoma, zilizofanyika leo katika ukumbi wa CCM wa Dodoma Convertion Centre nje kidogo ya mji wa Dodoma.

Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Philip Mangula, akihutubia katika sherehe za Kilele cha Miaka 40 ya CCM mkoa wa Dodoma, zilizofanyika leo katika ukumbi wa CCM wa Dodoma Convertion Centre nje kidogo ya mji wa Dodoma. Kulia ni Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
Viongozi wakiwa meza kuu baada ya kuwasili ukumbini kuendelea na sherehe hizo

Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole akihamasisha katika sherehe za Kilele cha Miaka 40 ya CCM mkoa wa Dodoma, zilizofanyika leo katika ukumbi wa CCM wa Dodoma Convertion Centre nje kidogo ya mji wa Dodoma.

Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole akihamasisha katika sherehe za Kilele cha Miaka 40 ya CCM mkoa wa Dodoma, zilizofanyika katika ukumbi wa CCM wa Dodoma Convertion Centre nje kidogo ya mji wa Dodoma.

Wanachama wa CCM wakiwa wamefurika ukumbini wakati wa sherehe hizo

Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishauriana jambo na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa wakati wa sherehe hizo leo katika ukumbi wa CCM wa Dodoma Convertion Centre nje kidogo ya mji wa Dodoma.

Baadhi ya viongozi kwenye sherehe hizo

Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimia wanacahama wa CCM wakati wa sherehe hizoleo katika ukumbi wa CCM wa Dodoma Convertion Centre nje kidogo ya mji wa Dodoma. PICHA ZINGINE KEM KEM KUHUSU SHEREHE HIZO/BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad