Matukio : Mradi wa Kuku wa Kienyeji Wazinduliwa, Lindi - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Monday, 23 January 2017

demo-image

Matukio : Mradi wa Kuku wa Kienyeji Wazinduliwa, Lindi


01

Wakiwa na furaha ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Abuu Mjaka akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Namaingo Business Agency Limited, Ubwa Ibrahim baada ya kuzindua Mradi wa Ufugaji Kuku kwa wanachama 3000 wa kampuni hiyo kutoka mikoa ya Lindi Mtwara na Ruvuma katika hafla iliyofanyika Kijiji cha Miteja, wilayani humo juzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
02
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Abuu Mjaka akifungua mlango katika banda la vifaranga vya mbegu vya mradi huo
03

Vifaranga vya mbegu ya kuku wa kienyeji vinavyofugwa kisasa
04
Mpiga Picha wa Gazeti la Tanzania Daima, Said Powa ambaye aliliwakilisha kundi la Wananchama Wanahabari la Kwanza One akipokea cheti cha usajili kutoka kwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Mjaka wakati wa hafla hiyo
05
Kundi la Wanahabari la Kwanza One likishangilia kwa furaha baada ya kukabidhiwa cheti cha kuwa miongoni mwa wanachama watakaoshiriki kwenye mradi huo
IMG_4680
Mbegu za mazao zilizooteshwa kwa ajili ya kulisha kuku
IMG_4682





Mkurugenzi wa Kampuni ya Ufugaji Kuu ya Shitindi Poutry Farm, Shitindi (katikati) akizungumza wakati wa uzinduzi, ambapo aliahidi kununua mayai ya wanachama wa ufugaji wa kuku wa Namaingo.






IMG_4707




IMG_4730

Ni burudani kwa kwenda mbele



IMG_4705

Mtalaamu wa ufugaji kuku wa kienyeji akielezea jinsi mfugaji anavyoweza kuzalisha majani ya malisho kwa kutumia mazao mblimbali

IMG_4735




IMG_4739

Mkurugenzi Mtendaji wa Namaingo, Ubwa Ibrahim akizungumza wakati wa hafla hiyo

IMG_4742

Sehemu ya umati uliohudhuria hafla hiyo

IMG_4749

Mjaka akihutubia wakati wa hafla hiyo

IMG_4756

Baadhi ya Wananchi wakisikiliza kwa makini hotuba

IMG_4761

Moja ya mabanda ya kuku yaliyoandaliwa kwa ajili ya

IMG_4790

Wanachama wakifurahia baada ya kukabidhiwa cheti cha usajiri wa Biashara cha Brela

IMG_4791




IMG_4821




IMG_4838

Mwenyekiti wa Namaingo Mkoa wa Ruvuma akipokea cheti cha Brela

IMG_4841

Dk. Hassan Kijaki Mtaalalamu wa Mifugo wa Mkoa wa Lindi akielezea kufurahishwa na kitendo cha Namaingo kuwekeza mradi wa kuku mkoani humo.

IMG_4844
Mchumi wa Mkoa wa John Mwalongo akihutubia wakati wa hafla hiyo
IMG_4851
Bi Ubwa na Mjaka wakikagua bidhaa mbalimbali za wAJASIRIAMALI ZILIZOFUNGWA KWA NJIA YA KISASA
IMG_4863




IMG_4864

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *