Matukio : Mradi wa Kuku wa Kienyeji Wazinduliwa, Lindi - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


23 Jan 2017

Matukio : Mradi wa Kuku wa Kienyeji Wazinduliwa, Lindi




Wakiwa na furaha ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Abuu Mjaka akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Namaingo Business Agency Limited, Ubwa Ibrahim baada ya kuzindua Mradi wa Ufugaji Kuku kwa wanachama 3000 wa kampuni hiyo kutoka mikoa ya Lindi Mtwara na Ruvuma katika hafla iliyofanyika Kijiji cha Miteja, wilayani humo juzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Abuu Mjaka akifungua mlango katika banda la vifaranga vya mbegu vya mradi huo


Vifaranga vya mbegu ya kuku wa kienyeji vinavyofugwa kisasa

Mpiga Picha wa Gazeti la Tanzania Daima, Said Powa ambaye aliliwakilisha kundi la Wananchama Wanahabari la Kwanza One akipokea cheti cha usajili kutoka kwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Mjaka wakati wa hafla hiyo

Kundi la Wanahabari la Kwanza One likishangilia kwa furaha baada ya kukabidhiwa cheti cha kuwa miongoni mwa wanachama watakaoshiriki kwenye mradi huo

Mbegu za mazao zilizooteshwa kwa ajili ya kulisha kuku






Mkurugenzi wa Kampuni ya Ufugaji Kuu ya Shitindi Poutry Farm, Shitindi (katikati) akizungumza wakati wa uzinduzi, ambapo aliahidi kununua mayai ya wanachama wa ufugaji wa kuku wa Namaingo.













Ni burudani kwa kwenda mbele





Mtalaamu wa ufugaji kuku wa kienyeji akielezea jinsi mfugaji anavyoweza kuzalisha majani ya malisho kwa kutumia mazao mblimbali








Mkurugenzi Mtendaji wa Namaingo, Ubwa Ibrahim akizungumza wakati wa hafla hiyo



Sehemu ya umati uliohudhuria hafla hiyo



Mjaka akihutubia wakati wa hafla hiyo



Baadhi ya Wananchi wakisikiliza kwa makini hotuba



Moja ya mabanda ya kuku yaliyoandaliwa kwa ajili ya



Wanachama wakifurahia baada ya kukabidhiwa cheti cha usajiri wa Biashara cha Brela













Mwenyekiti wa Namaingo Mkoa wa Ruvuma akipokea cheti cha Brela



Dk. Hassan Kijaki Mtaalalamu wa Mifugo wa Mkoa wa Lindi akielezea kufurahishwa na kitendo cha Namaingo kuwekeza mradi wa kuku mkoani humo.


Mchumi wa Mkoa wa John Mwalongo akihutubia wakati wa hafla hiyo

Bi Ubwa na Mjaka wakikagua bidhaa mbalimbali za wAJASIRIAMALI ZILIZOFUNGWA KWA NJIA YA KISASA







No comments:

Post a Comment

Post Top Ad