Michezo /Kimataifa : Manchester United Yabamizwa na Fenerbahce ya Uturuki 2 -1 - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


4 Nov 2016

Michezo /Kimataifa : Manchester United Yabamizwa na Fenerbahce ya Uturuki 2 -1

Mshambuliaji wa Fenerbahce, Moussa Sow akibinuka tik tak katikati ya mabeki wa kati wa Manchester United, Marcos Rojo na Daley Blind kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-1 ,kwenye mchezo wa Kundi A Europa League Uwanja wa Ulker Fenerbahçe Sukru Saracoglu Spor Kompleksi mjini Ä°stanbul, Uturuki. Bao lingine la Fenerbahce lilifungwa na Jeremain Lens wakati la Man United lilifungwa na Nahodha, Wayne Rooney.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad