Matukio : Mhe. Samia Suluhu afungua mafunzo ya Wanawake Wajasiriamali Jijini Dar - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


21 Jun 2016

Matukio : Mhe. Samia Suluhu afungua mafunzo ya Wanawake Wajasiriamali Jijini Dar


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa kufungua Mafunzo ya siku tatu ya Wanawake Wajasiriamali yalioandaliwa na Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF) kwenye ukumbi wa Bwalo la JKT Mgulani, Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad