Siasa Zetu :Mbunge Ndesamburo na Jaffary Michael Waendelea na Mikutano katika Jimbo la Moshi Mjini. - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


28 Apr 2015

Siasa Zetu :Mbunge Ndesamburo na Jaffary Michael Waendelea na Mikutano katika Jimbo la Moshi Mjini.


Mbunge wa jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika jirani na Super Market ya Nakumatt.
Baadhi ya wananchi waliofika katika mkutano huo wakimsikiliza Ndesamburo.
Ndesamburo akizungumza.
Baadhi ya viongozi wa Chadema akiwemo mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael wakimsilikiza Ndesamburo.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi,Jafary Michael akizungumza katika mkutano wa hadhara .
Mbunge waMoshi mjini Philemoni Ndesamburo akimsikiliza Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi.(hayuko pichani) akiwa na viongozi wengine wa Chadema.

Na Dixon Busagaga, Moshi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad