Mke
wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na Mke wa Waziri Mkuu wa
Japan, Mama Akie Abe katika hafla iliyoandaliwa na Waziri Mkuu wa Japan
Shinzo Abe kwa washiriki wa Mkutano wa tatu wa dunia kuhusu upunguzaji
wa hatari ya majanga duniani ulioanza machi 14 katika mji wa Sendai
Japan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mkutano Mkuu wa Kilimo Ikolojia Hai kufanyika Machi mwaka huu
-
*Na Mwandishi Wetu*
*SHIRIKA la Kilimo Hai Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo (TOAM)
linaratarajia kufanya Mkutano MKuu wa Nne Machi 3 hadi Mac...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment