Mke
wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na Mke wa Waziri Mkuu wa
Japan, Mama Akie Abe katika hafla iliyoandaliwa na Waziri Mkuu wa Japan
Shinzo Abe kwa washiriki wa Mkutano wa tatu wa dunia kuhusu upunguzaji
wa hatari ya majanga duniani ulioanza machi 14 katika mji wa Sendai
Japan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
TUME YATEUA WAGOMBEA 17 UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA ISMANI
-
*Na. Mwandishi Wetu, Ismani *
*Wagombea 17 wameteuliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kugombea ubunge
Jimbo la Ismani lililopo Halmashauri ya Wilaya ya...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment