Mke
wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na Mke wa Waziri Mkuu wa
Japan, Mama Akie Abe katika hafla iliyoandaliwa na Waziri Mkuu wa Japan
Shinzo Abe kwa washiriki wa Mkutano wa tatu wa dunia kuhusu upunguzaji
wa hatari ya majanga duniani ulioanza machi 14 katika mji wa Sendai
Japan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
BODI YA BIMA YA AMANA YATOA UFAFANUZI KUHUSU FIDIA ZA WATEJA WA BENKI
ZINAPOANGUKA
-
*Bodi ya Bima ya Amana imeeleza kuwa jukumu lake kuu ni kuhakikisha wateja
wa benki wanarudishiwa fedha zao pale benki inapopata changamoto au
kufilisika, ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment