Mke
wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na Mke wa Waziri Mkuu wa
Japan, Mama Akie Abe katika hafla iliyoandaliwa na Waziri Mkuu wa Japan
Shinzo Abe kwa washiriki wa Mkutano wa tatu wa dunia kuhusu upunguzaji
wa hatari ya majanga duniani ulioanza machi 14 katika mji wa Sendai
Japan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
SERIKALI YATENGA BILIONI 25 KUTEKELEZA MRADI WA SLR
-
*Na Mwandishi Wetu,*
*KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema
kiasi cha Shilingi Bilioni 25 zimetengwa kwa ajili ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment