Maisha ni Nyumba : Taswira ya Jumba la Kifahari la Spika wa Bunge la Tanzania, Dodoma - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

Sunday 15 March 2015

Maisha ni Nyumba : Taswira ya Jumba la Kifahari la Spika wa Bunge la Tanzania, Dodoma

Hatimaye Spika wa Bunge la Tanzania pale Dodoma atakuwa na makazi rasmi baada ya ujenzi wa nyumba ya Spika kukamilika na makabidhiano kufanyika. Nyumba hiyo ambayo ipo maeneo ya
Uzunguni nje kidogo ya Dodoma mjini imegharimu takribani Tshs Billion 1.5 
imejengwa na kampuni ya Pacha Building Construction Company. Hii inakuwa nyumba ya kwanza rasmi ya Spika kwani hapo awali hapakuwahi kuwa na nyumba rasmi ya Spika.
Mlango wa mbele
Upande wa nyuma wa jengo
Ngazi ndani ya jengo ambalo lina vyumba vinne vya kulala, sehemu ya mapumziko, sehemu ya chakula, maktaba na jiko Spika akuna kulala tena hotel wakati kwa vikao vya bunge (picha: Prosper Minja)

No comments:

Post a Comment