Burudani : Uzinduzi cha chama NETEVE kinachojihusisha na mambo ya utamaduni wa Afrika nchini Ubelgiji - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Monday, 16 March 2015

demo-image

Burudani : Uzinduzi cha chama NETEVE kinachojihusisha na mambo ya utamaduni wa Afrika nchini Ubelgiji


DSCF1144
 Mheshimiwa Tim Vandenput Meya wa kitongoji cha Hoeilaart nchini Ubelgiji akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa chama cha NETEVE. Wa kwanza kushoto ni Rais wa chama hicho Madame Oliva Butoyi akishuhudia uzinduzi huo. Wengineo ni wanachama wanaounda umoja huo. Neteve ni chama kinachojihusisha na mambo ya tamaduni za nchi mbalimbali toka barani Africa.
DSCF1149
Wanachama wa Neteve wakipiga makofi kushangilia uzinduzi rasmi wa umoja wao pale Mheshimiwa Tim Vandenput alipokata utepe kukizundua chama hicho rasmi.
DSCF1171
Kikundi cha ngoma cha Amahoro kutoka Rwanda kikitumbuiza kwenye sherehe za uzinduzi wa chama cha Neteve nchini Ubelgiji 
DSCF1203
Wasichana warembo wa Amahoro Music Dance wakifanya yao katika sherehe za uzinduzi wa chama cha Neteve[Picha na maelezo toka Maganga One Blog].
DSCF1206
Wageni waalikwa toka mataifa mbalimbali wakiendelea kupata yanayojiri kwenye uzinduzi huo.
DSCF1214
Rais wa chama cha Neteve akitoa hotuba ya kukitambulisha chama chao muda mfupi baada ya uzinduzi.[Picha na maelezo toka Maganga One Blog].

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *