Matukio : Timu ya SIMBA ilivyoinyoa Yanga 2 - 0, Mashabiki lukuki Wazimia Uwanjani - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Sunday, 14 December 2014

demo-image

Matukio : Timu ya SIMBA ilivyoinyoa Yanga 2 - 0, Mashabiki lukuki Wazimia Uwanjani

DSC_0831
 Kocha wa Simba, Patrick Phir akisalimiana na kocha wa Yanga, Marcio Maximo kabla ya mchezo. (Picha zote na Francis Dande)
DSC_0855
 Emmanue Okwi akiomba dua wakati akiingia uwanjani.
DSC_0894
 Mgeni rasmi akisalimiana na wachezaji wa Yanga.
DSC_0903
 Mgeni rasmi akisalimiana na wachezaji waSimba.
DSC_0922
Kikosi cha Yanga.
DSC_0935
Kikosi cha Simba.
DSC_0955 Kocha wa Yanga MarcioMaximo akitafakari.
Picha+ya+Pg.24
Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akiwa amenyanyua juu Kombe la Ubingwa wa mechi ya Nani Mtani Jembe msimu wa pili uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba imeshinda 2-0.
DSC_1910
 Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Mchezo, Dk. Fenella Mukangala akimkabidhi nahodha wa Simba, Emmanuel Okwi Kombe la Ubingwa wa mechi ya Nani Mtani Jembe.
DSC_1973
Wachezaji wa Simba wakishangilia ushindi wa timu yao.
DSC_0971
 Umati wa mashabiki wa Yanga.
DSC_1618
 Umati wa mashabiki wa Simba.
DSC_1624
Mashabiki wa Simba wakiwa wamebeba mfano wa jeneza kuwakejeli watani zao.
DSC_0972
 Beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Canavaro'
DSC_0989
 Beki wa Yanga, Kelvin Yondan akimiliki mpira.
DSC_1031
 Mwamuzi wa mchezo huo  akimuonyesha kadi ya njano mshambuliaji wa Simba, Simo Serunkuma.
DSC_1152
 Kpah Sherman akiokoa moja ya hatari langoni mwake huku Elius Maguri akimzonga.
DSC_1163
 Mshambuliaji wa Simba Emmanule Maguri akichuana na beki wa Yanga, Nadir Haroub.
DSC_1206
Wachezaji wa Simba wakishangilia bao lao la kwanza.
DSC_1220
 Hassan Isihaka (kushoto) na Ramadhani Singano 'Messi' wakishangilia bao la kwanza la timu yao.
DSC_1239
Beki wa Yanga, Oscar Joshua akimtoka Elius Maguri wa Simba.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *