Matukio : Prof. Anna Tibaijuka - Siwezi Kujiuzulu Kwa Ajili ya Fedha za Tegeta Escrow - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Thursday, 18 December 2014

demo-image

Matukio : Prof. Anna Tibaijuka - Siwezi Kujiuzulu Kwa Ajili ya Fedha za Tegeta Escrow


DSC_3645
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.Akizungumza na Waandishi na Habari mapema leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Regency,Anna alisema kuwa udalali wake fedha hiyo ni kwa ajili ya wanafunzi katika shule za Taasisi ya Johansson Girls Education Trust. Kwa Maelezo zaidi Bofya Hapa >>>

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *