WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa
hawezi kujiuzulu katika nafasi ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.Akizungumza na Waandishi na Habari mapema leo jijini Dar es Salaam katika
ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Regency,Anna alisema kuwa udalali wake fedha
hiyo ni kwa ajili ya wanafunzi katika shule za Taasisi ya Johansson
Girls Education Trust. Kwa Maelezo zaidi Bofya Hapa >>>
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Movies, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
No comments:
Post a Comment