Maisha na Elimu :Mkutano Mkuu wa Shirika lisilo la Kiserikali la CAMFED TANZANIA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 12 December 2014

demo-image

Maisha na Elimu :Mkutano Mkuu wa Shirika lisilo la Kiserikali la CAMFED TANZANIA

MGENI+RASMI+AFISA+ELIMU+MKOA+WA+DODOMA+JUMA+KAPONDA
Mgeni rasmi Afisa Elimu Mkoa wa Dodoma, Juma Kaponda akizungumza mjini Dodoma katika Mkutano mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la CAMFED TANZANIA ambalo linahusiana na kuwafadhili Watoto wa Kike wa Shule za Sekondari na Vyuo Vikuu hapa Nchini wenye mazingira magumu.
MGENI+RASMI+AKIWASILI+KUFUNGUA+MKUTANO+MKUU
Mgeni rasmi Afisa Elimu Mkoa wa Dodoma, Juma Kaponda akikaribishwa katika Mkutano mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la CAMFED TANZANIA ambalo linahusiana na kuwafadhili Watoto wa Kike wa Shule za Sekondari na Vyuo Vikuu hapa Nchini wenye mazingira magumu.
MKURUNGENZI+KTUKO+WIZARA+ELIMU
Mkurugenzi kutoka Wizara ya Elimu, akiongea katika Mkutano mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la CAMFED TANZANIA ambalo linahusiana na kuwafadhili Watoto wa Kike wa Shule za Sekondari na Vyuo Vikuu hapa Nchini wenye mazingira magumu.
PICHA++YA+POMOJA+STAFF+NA+WANAFUNZI+WANAOFADHILIWA+NA+CAMFED+TANZANIA
PICHA+YA+PAMOJA+NA+MGENI+RASMI
Mgeni rasmi akiwa na Wafanyakazi pamoja na Wanafunzi wanaofadhiliwa na Camfed Tanzania.
WANAFUNZI+1
Wanafunzi wa Sekondari wanaosomoshwa na shirika la Camfed Tanzania.
WANAFUNZI+VYUO+VIKUU
Wanafunzi wa vyuo vikuu wanaosomeshwa na shirika la Camfed Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *