Elimu Yetu : Mdau Angelah Akilimali na Wenzake Wala Nondozz ya Mawasiliano ya Umma - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 12 December 2014

demo-image

Elimu Yetu : Mdau Angelah Akilimali na Wenzake Wala Nondozz ya Mawasiliano ya Umma


DSC_0114
Kaimu Mgukurugeni wa Uhuru FM, Angela Akilimali (katikati) akiwa na wahitimu wenzake wa Shahada ya Mawasiliano ya uma ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) katika mahafali yaliyofanyika hivi katibuni mkoani Kibaha mkoani Pwani.  Kushoto ni Hemed Mbaraka na Mganwa Nzota.
DSC_0128
 Wanahabari wa morogoro nao walikula nondo zao katika mahafali hayo.
DSC_0160
 Angela Akilimali akiwa na mumewe Hassan Hemedi Chamshama baada ya kumkabidhi shada la maua wakati akimpongeza.
DSC_0165
 Toka kushoto ni Idda Mushi wa ITV/Redio One - Morogoro, Angela Akilimali wa Uhuru FM na Hana Mayige  wa TBC wakipozi kwa picha wenye furaha baada ya kula nondo zao. PICHA ZAIDI zaidi Bofya Hapa KIDEVU BLOG.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *