Michezo : Mashindano ya Malecela Cup 2014 Yamalizika Jimbo la Same Mashariki - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Friday, 7 November 2014

demo-image

Michezo : Mashindano ya Malecela Cup 2014 Yamalizika Jimbo la Same Mashariki


DSC07205
Mgeni rasmi katika mashindano ya John Samwel Malecela 2014,mbunge wa viti maalum Ester Bulaya(mwenye kofia) akiwa na mbunge wa jimbo la Same Mashariki Anne Kilango Malecela wakati wa fainali ya mshindano hayo iliyofanyika katika uwanja wa Mamba Myamba wilayani Same. 
DSC07280
Mgeni rasmi katika mashindano ya John Samwel Malecela 2014,mbunge wa viti maalum Ester Bulaya(mwenye kofia) wakifurahia jambo na mbunge wa jimbo la Same Mashariki Anne Kilango Malecela wakati wa fainali ya mshindano hayo iliyofanyika katika uwanja wa Mamba Myamba wilayani Same.
DSC07291
Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango Malecela akiongozwa na katibu wa chama cha soka wilaya ya Same Nathaniel Msangi kwenda kukagua timu za sekondari ya Parane na Ntenga zilizokuwa zikicheza mchezo wa fainali ya kwanza.

DSC07299
Mbunge Kilango akikagua timu ya sekondari ya Ntenga.
DSC07312
Mbunge Kilango akikagua timu ya sekondari ya Parane.
DSC07320
Mbunge Anne Kilango akitoka kukagua timu za sekondari za Parane na Ntenga.
DSC07321
Wachezaji wa timu za sekondari za Parane na Ntenga wakiimba wimbo wa Tanzania kabla ya kuanza kwa mchezo wao wa fainali.
DSC07330
Kikosi cha timu ya Ntenga sekondari.
DSC07332
Kikosi cha timu ya Paranae Sekondari. Kwa Picha Zaidi Bofya hapa >>>

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *