SIASA SIO UADUI, CHEKI WAKUU WA NCHI WAKIFURAHI KWA PAMOJA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

10 May 2013

SIASA SIO UADUI, CHEKI WAKUU WA NCHI WAKIFURAHI KWA PAMOJA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mbunge wa Singida  Mashariki-Chadema, Tundu Lissu kwenye uwanaj wa ndege wa Kilimanjaro alikowasili  May 8,2013 ili kufungua mkutano Mkuu wa ALAT jijini Arusha, May 9, 2013. Lisu pamoja na wabunge wengine walikwenda Arusha kujionea athari za mlipuko wa bomu kwenye Kanisa Katoliki la Olasiti.Katikati ni Mbunge wa Igalula  Athumani Mfutakamba.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633