Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mbunge wa Singida Mashariki-Chadema, Tundu
Lissu kwenye uwanaj wa ndege wa Kilimanjaro alikowasili May 8,2013 ili
kufungua mkutano Mkuu wa ALAT jijini Arusha, May 9, 2013. Lisu pamoja na
wabunge wengine walikwenda Arusha kujionea athari za mlipuko wa bomu
kwenye Kanisa Katoliki la Olasiti.Katikati ni Mbunge wa Igalula
Athumani Mfutakamba.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA, MAJALIWA WATETA
-
*🔴Aipongeza Tanzania kwa kuwa kinara wa amani Barani Afrika*
*WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,
Antonio Gutier...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment