Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mbunge wa Singida Mashariki-Chadema, Tundu
Lissu kwenye uwanaj wa ndege wa Kilimanjaro alikowasili May 8,2013 ili
kufungua mkutano Mkuu wa ALAT jijini Arusha, May 9, 2013. Lisu pamoja na
wabunge wengine walikwenda Arusha kujionea athari za mlipuko wa bomu
kwenye Kanisa Katoliki la Olasiti.Katikati ni Mbunge wa Igalula
Athumani Mfutakamba.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
CG MWENDA APITA MLANGO KWA MLANGO KUZUNGUMZA NA WALIPAKODI IGUNGA
-
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda
akiwa ziarani wilayani Igunga mkoani Tabora February 06 mwaka huu amepita
mlang...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment