![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0pIP9zhK3q_T1Nk25Ca4FoPY6QNYRpGiDaSekrdUD1iOi1bNUoaQ98Bt-t5Rg6COHILexuTt1cTsIUMpycZ3MDsrgUpsOVn1y-RivBv9dLz-dlHF9a5KTS9JKMvGBug6yB-6pLHy07Ura/s320/mwanza1.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgDL4VQM51lrRB7GWN8jEtz1hVB-B5KCumM_nysvFvY7ovwuRwzZJEtugbfZd44DtaPweuFn8agOCpynRPRU-Isz_bS09rUSYm2NgV3TS-IgVT8Vb7__w40XqxftF2-SWblumwtqLNdytlp/s320/mwanza2.jpg)
Taasisi ya Hassan Maajar imetoa
masaada wa madawati 250 katika shule za msingi mkoa wa Mwanza.
Zaidi ya wanafunzi 700 katika
shule tano za wilaya tano ya mkoa wa Mwanza zimepokea msaada wa madawati
yaliyotolewa na Taasisi ya Hassan Maajar Trust.
Jumla ya madawati 250 yalitolea
na taasisi hiyo ikiwa ni kampeni yako ya kupunguza tatizo sugu la upungufu wa
madawati katika shule hizo. Hafla ya kukakabidhi madawati hao, ilifanyika
katika Shule ya Msingi ya Nyaminjundu, iliyoko Wilaya ya Misungwi. Bwana
Shariff Maajar, pamoja na Bi Zena M Tenga kwa niaba ya Taasisi ya Hassan Maajar
Trust walikabidhi madawati hayo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh. Engineer
Evaristi Ndikilo.
No comments:
Post a Comment