| Kuingia Ukumbini sasa...Karibu sana |
| Mr. Gadiola Emanuel nikiwa na wenzangu kutoka katika Redio na Televisheni tofauti hapa Tanzania tukipata nondozz zetu kutoka katika Chuo cha Uandishi wa Habari Arusha. |
| Gari langu......!!!! |
| Elimu ni popote na kwa watu wote...!!! |
| Mtoto wangu kipenzi Glory Gadiola Emanuel |
| Kusoma na Familia ni kazi ngumu na inaitaji moyo sana...!!! |
| Nawashukuru Wakufunzi wangu na Mkurugenzi wa Chuo cha Uandishi wa Habari Arusha. |
| Chezea cheti wewe...??haupati kwa Umbea au Ubinafsi...!!! |
| Hongera mdogo wangu wa ukweli... |
| Hongera Mdogo wangu |
| Hongera Mume wangu....kusoma na familia ni kazi nzito!!! |
| Familia yangu hii hapa...!!!kulia ni Mke wangu Kipenzi Upendo Mwakobela na Mwanangu Glory na Kushoto kwangu ni Dada yangu . |
| Kugonga Nondozz ni Raha ,hasa ukiwa na changamoto za maisha. |
| Wageni waalikwa....wakisikiliza kwa umakini...!!! |
| Picha ya pamoja na wakurugenzi na wakufunzi wa chuo cha Uandishi wa Habari Arusha. |
No comments:
Post a Comment