MBUNGE MHE. MSIGWA NA WENZAKE WAACHIWA KWA DHAMANA

Mbunge Peter Msigwa akibebwa juu juu na wanachama wake wa Iringa


Mbunge  Msigwa akishuka katika gari ya  polisi huku akiwa chini ya ulinzi mkali  wa  FFU leo  alipofikishwa mahakamani kabla ya  kudhaminiwa


 Mheshimiwa mbunge  Msigwa  akishuka katika gari ya  polisi chini ya ulinzi mkali  wa polisi
 Mkuu  wa FFU Iringa Said Abdalah Mnunka  (katikati) akiwa na maofisa  wenzake  wa  polisi
 Katibu  wa Chadema wilaya ya Iringa mjini Bi Suzana Mgonakulia  akitoa nje ya mahakama hiyo
Picha kwa hisani ya Francis Godwin

Drive Vision 2030, President Uhuru Kenyatta tells Cabinet

President Uhuru Kenyatta (left) and the Tanzania deputy minister for Finance Janet Mbene (right) arrive for the 13th Annual General Meeting of shareholders of the African Trade Insurance (ATI) Agency at the Stanley Hotel, Nairobi May 15, 2013. The President told Cabinet to drive Vision 2030 and make Kenya competitive globally. SALATON NJAUPresident Uhuru Kenyatta (left) and the Tanzania deputy minister for Finance Janet Mbene (right) arrive for the 13th Annual General Meeting of shareholders of the African Trade Insurance (ATI) Agency at the Stanley Hotel, Nairobi May 15, 2013. The President told Cabinet to drive Vision 2030 and make Kenya competitive globally. SALATON NJAU   

President Uhuru Kenyatta has told Cabinet to drive the realisation of Vision 2030 and make Kenya competitive globally.
President Kenyatta said the newly appointed Cabinet Secretaries should get down to work and serve Kenyans diligently.
"Kenyans are no longer willing to wait and listen to excuses. We must perform. Kenyans want a positive transformation," he said moments after witnessing the swearing in of 15 Cabinet Secretaries at State House, Nairobi Wednesday.
"You should be transparent and impartial in dispensing your duties and management of the national resources," he told the secretaries.
The nominee for Foreign Affairs Amina Mohammed is out of the country and will be sworn in at a later date.
The President thanked the National Assembly for "expeditiously processing the vetting of the Cabinet secretary nominees".
On Tuesday, the National Assembly cleared President Kenyatta’s 16-member Cabinet for appointment during an acrimonious session.Source: Daily Nation

Young Kenyan Girls Having Sex With a Dog: Who Is To Blame?

Source: Kenya Today news MEDIA SHOULD APOLOGIZE TO KENYAN WOMEN ON DOG STORY: The allegations that eleven Kenyan ladies were acting porn movies with dogs are untrue. A reliable source who has made contact with the Swiss national in the center of the scandal now in custody has intimated that the story is no more than a porn acting ring that was spiced up with the dog bit to raise a national outcry and hence justify the deportation of the Swiss national. The Swiss, who is a former employee of an international humanitarian organization in Somalia befriended a lady from Karatina-Nyeri two years ago and together started a porn making and prostitution ring involving local girls and foreign nationals. The lady however bribed the police and journalists to bust the Swiss and make false claims that he was paying gals to have sex with dogs. Interviews with a section of the authorities in Mombasa also corroborate the absence of a dog(s) during the arrest. “The intention of the lady was to have the Swiss bundled out of the country and thereby remain with his wealth worth millions. In fact the Swiss did not record any statement with the police and the OB entry mentions no dogs” the source revealed. “To spin the story further the girlfriend purportedly leaked Facebook inbox text messages to leading bloggers who published them hence driving the publicity” the source added ….and indeed the story went viral touching our born again Deputy President who immediately warned bogus foreigners masquerading as tourists or investors that they will be deported. It’s sad that the image of the Kenyan woman has been sacrificed on the altar of greed by the same people who are supposed to be on the forefront protecting their image- the media. http://www.kenya-today.com/news/mombasa-students-dog-sex-porn

MHE. BERNARD MEMBE AMTEMBELEA NA KUMPA POLE BALOZI WA VATICAN NA MWAKILISHI WA PAPA NCHINI TANZANIA FRANCISCO PADILLA


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akisalimiana na Mhe. Francisco Montecillo Padilla, Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa hapa nchini mara baada ya kuwasili Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumsalimia na kumpa pole kufuatia shambulio la bomu  lililotokea Jijini Arusha tarehe 5 Mei, 2013  na kupelekea watu watatu kufariki dunia na wengine zaidi ya 60 kujeruhiwa. Balozi Padilla alikuwa miongoni mwa wageni waalikwa  katika hafla ya ufunguzi rasmi wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasiti, Jimbo Kuu la Arusha wakati tukio hilo linatokea.

Mhe. Balozi Padilla akiwa katika  mazungumzo na Mhe. Membe kuhusu tukio hilo  ambapo pamoja na mambo mengine alisema kuwa anaamini suala hilo litapita na wahusika kupatikana na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Mhe. Membe akiagana na Mhe. Balozi Padilla mara baada ya kuzungumza naye.Picha na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

WAZIRI MKUU WA TANZANIA MHE. MIZENGO PINDA APOKEA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO YA KUPAMBANA NA WIZI WA KAZI ZA SANAA MJINI DODOMA.




Waziri Mkuu Pinda akizungumza mbele ya  baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya/Filamu pamoja na watangazaji wa Clouds FM na wadau wengine wa sanaa waliojumuika kwa pamoja kwenye tukio hilo adhimu kabisa Jumapili,mara baada kufanyika Matembezi ya mshikamano ya kuitaka Serikali iendelee kuzilinda fursa zilizopo na pia kuendelea kuutanua wigo wa upatikanaji wa fursa hizo kwa wasanii na vijana wenyewe,ikiwa sambamba na kupinga uwizi/uharamia wa kazi za sanaa hapa nchini.



Mh.Pinda aliishukuru kampuni ya Clouds Media Group kwa kazi nzuri walioianzisha ya kuwasaidia vijana kwa namna moja ama nyingine katika suala zima la kuwaamsha na kuwafungua macho na kuwaelimisha namna ya kuziona fursa zilizopo kwa ajili ya kujikwamua kimaisha,aliongeza  kuwa kupitia ujumbe huo wa MADE IN TANZANIA kinachohitajika sasa ni kupanga ratiba nzuri ya kuliendeleza zoezi hilo ikiwemo pia kwa kuzishirikisha taasisi nyingine zikiwemo za serikali katika kuhakikisha jambo hilo linaendelea.


 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Dkt.Rehema Nchimbi akiwakaribisha watu wote waliofika kwenye viwanja vya Nyerere Skwea,tayari kwa kumpokea mgeni rasmi,Waziri Mkuu Pinda.


Baadhi Wadau wa Muziki na Filamu wakiwa na mabango yao yaliyobeba jumbe mbalimbali ,kwenye Matembezi ya mshikamano ya kuitaka Serikali iendelee kuzilinda fursa zilizopo na pia kuendelea kuutanua wigo wa upatikanaji wa fursa hizo kwa wasanii na vijana wenyewe,ikiwa sambamba na kupinga uwizi/uharamia wa kazi za sanaa hapa nchini,yaliyoanzia kwenye uwanja wa Jamhuri na kufikia tamati viwanja vya Nyerere Skwea 



Sehemu ya umati wa watu ukiwa kwenye Matembezi ya mshikamano ya kuitaka Serikali iendelee kuzilinda fursa zilizopo na pia kuendelea kuutanua wigo wa upatikanaji wa fursa hizo kwa wasanii na vijana wenyewe katika nafasi ya kujikwamua kimaisha,ikiwa sambamba na kupinga uwizi/uharamia wa kazi za sanaa hapa nchini,yaliyoanzia kwenye uwanja wa Jamhuri na kufikia tamati viwanja vya Nyerere Skwea 


 Baadhi ya Wasanii wa Filamu hapa nchini Wema Sepetu sambamba na shosti yake Kajala walikuwa ni miongoni mwa wasaani waliounga mkono matembezi hayo ya mshikamano yaliyokuwa yametawaliwa pia na mabango kadhaa yaliyobeba jumbe mbalimbali za kupinga wizi wa kazi sanaa.



 Matembezi ya mshikamano ya kuitaka Serikali iendelee kuzilinda fursa zilizopo,ikiwa sambamba na kupinga wizi/uharamia wa kazi za sanaa hapa nchini .


 Baadhi ya Watangazaji wa clouds FM,sambamba na wasanii wa muziki wa kizazi kipya/tasnia ya filamu na wadau wengine wa sanaa wakiwa wamejumuika kwa pamoja kwenye viwanja vya Nyerere Skwea Jumapili,tayari kwa kumpokea mgeni rasmi,Mh Waziri Mkuu Pinda.


Mmoja wa Watangazaji wa kipindi cha Jahazi,Wasi Wasi Mwambulambo akiserebuka na Mh.Rehema Nchimbi.


 Baada ya muda kulipita burudani ya pamoja ya mchanganyiko kama hivi safi kabisa kabla ya Waziri Mkuu kuwasili viwanjani hapo.


 Pichani kati ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt.Rehema Nchimbi,kulia mtangazaji wa Clouds FM Mbwiga Mbwiguke na Shaffih Dauda (shoto) wakitwibiwirika kwa pamoja, mjini Dodoma kwenye viwanja vya Nyerere skwea.


 Mbunge wa Jimbo la Kinondoni na Mdau mkubwa wa sanaa hapa nchini,Mh.Idd Azan akiunga mkono harakati za kupapambana na maharamia wa kazi za sanaa hapa nchini


 Gari ya Waziri Mkuu Pinda ikiwasili


 Waziri Mkuu Pinda akisalimiana na Naibu Waziri wa Habari,Vijana, michezo na Utamaduni,Mh.Amos Makala habari,Michezo mara alipokuwa akiwasili kwenye viwanja vya Nyerere Skwea, mjini Dodoma. 


 Waziri Mkuu Pinda akisalimiana na Mkurugenzi wa Vipindi na utafiti wa Clouds Media Group,Ruge Mutahaba mara alipokuwa akiwasili kwenye viwanja vya Nyerere Skwea, mjini Dodoma.


 Waziri Mkuu Pinda akiwasili kwenye viwanja vya Nyerere Skwea,mjini Dodoma. huku akiwapungia mkono baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya/Filamu pamoja na watangazaji wa Clouds FM na wananchi wengine kwa ujumla waliojumuika kwa pamoja kwenye tukio hilo adhimu kabisa,mara baada kufanyika Matembezi ya mshikamano ya kuitaka Serikali iendelee kuzilinda fursa zilizopo na pia kuendelea kuutanua wigo wa upatikanaji wa fursa hizo kwa wasanii na vijana wenyewe,ikiwa sambamba na kupinga uwizi/uharamia wa kazi za sanaa hapa nchini,pichani kati ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Dkt.Rehema Nchimbi akimkaribisha. .


 Mh.Waziri Mkuu Pinda akizungumza jambo na Muimbaji mahiri wa mashairi hapa nchini,Mrisho Mpoto.Kulia ni Mkurugenzi wa Vipindi na utafiti wa Clouds Media Group,Ruge Mutahaba na kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Chamwino,Mh.Fatma Ally akishuhudia mazungumzo hayo. Na Josephat Lukaza Blog

MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MSALABA MWEKUNDU HAPA TANZANIA, YAFANYIKA JIJINI ARUSHA

Maandamano ya maadhimisho ya miaka 50 hapa Tanzania, katika uwanja wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid Jijini, Arusha
Maandamano ya maadhimisho ya miaka 50 hapa Tanzania, katika uwanja wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid Jijini, Arusha

Waandishi wa habari walipewa vyeti ,kutoka kushoto ni Beatrice Gerald (mwakilishi wa Clouds fm)  na kulia ni Doreen Aloyce (NYU).

Maandamano ya maadhimisho ya miaka 50 hapa Tanzania, katika uwanja wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid Jijini, Arusha
Viongozi mbali mbali wa Msalaba mwekundu ,wakiangalia maandamano ya maadhimisho ya miaka 50 hapa Tanzania, katika uwanja wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid Jijini, Arusha.

VILIO NA MAJONZI VYATANDA KWENYE MAZISHI YA WALIOKUFA KWA BOMU LILILOLIPUKA KATIKA KANISA LA MT. JOSEPH OLASITI ,JIJINI ARUSHA


Maaskofu wakiombea miili ya marehemu Regina Loning'o Laizer ,James Gabriel Kessy na patricia Assey  kabla ya kuingizwa kanisani tayari kwa ibada ya mazishi iliyofanyika katika kanisa la mtakatifu josephy mfanyakazi lililopo katika kata ya olasiti mjini hapa ambapo marehemu hawa ambao walifariki dunia may 5 wakati wakisali katika ibada ya uzinduzi wa kanisa ambapo mtu asiyejulikana alirusha bomu wamezikwa nje ya kanisa hilo. Picha hii imepigwa na Woinde Shizza

Majeneza yakiwa kanisani kabla ya ibada ya mazishi

Mapadri wakiwa wamebeba moja ya majeneza

Watawa wakiwa kanisani wakati wa ibada

Viongozi wa Kanisa wakitoa salamu za mwisho

Kilio kilio kilio anamlilia mama yake mzazi

Wananchi wakitoa salamu zao za mwisho kwenye kanisa katoliki.

Majonzi na uchungu

Wahudumu wakishusha mwili wa marehemu kaburini kwenye viwanja vya Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi Parokia ya Olasiti jijini Arusha.


Baadhi ya maaskofu kutoka majimbo mbalimbali waliohudhuria ibada ya mazishi.

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kirutheri Tanzania(KKKT)Dk Alex Malasusa(kushoto)akiwa na viongozi wengine wa Kanis a hilo wakiwa kwenye ibada ya mazishi

Umati wa watu waliohudhuria maziko hayo

Waziri Mkuu mstaafu,Edward Lowassa(kulia)akiteta jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani,Dk Emmanuel Nchimbi kabla ya ibada kuanza. Kuanzia picha ya pili: Filbert Rweyemamu
Waziri wa Mambo ya ndani, Dk Emmanuel Nchimbi akiweka shada la maua kwa niaba ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliyeondoka kabla ya zoezi hilo kufanyika, katika ibada ya mazishi  ya waumini waliokufa baada ya kulipuliwa na blomu katika Kanisa la Katoliki la Mt Josephat Mfanyakazi – Parokia ya Olasiti, Arusha.


Kiongozi wa Kambi ya Upinzani bungeni, Freeman Mbowe akiweka shada la maua katika moja ya makaburi hayo.


Majeneza yenye miili ya marehemu ikiwa kanisani tayari kuombewa. Marehemu hawa walifariki katika mlipuko wa bomu katika Kanisa la Mt Josephat Mfanyakazi – Parokia ya Olasiti, Arusha wakati ibada ikiwa ineendelea.

PICHA KWA HISANI YA SEIF MANGWANGI, FILBERT RWEYEMAMU NA WOINDE SHIZZA

Older Posts