Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akikabidhiwa tuzo yake na Waziri wa Mapato wa Jamhuri ya Ethiopia, Mama Aynalem Nigusie) na Mwenyekiti wa Jarida la Uongozi Afrika, Dk. Ken Giami kwenye hafla ya kila mwaka ya Tuzo za Watu Bora wa Mwaka za ALM katika Hoteli ya Ethiopian Skylight jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa Mwenyekiti wa Jarida la Uongozi Afrika, Dk. Ken Giami kwenye hafla ya kila mwaka ya Tuzo za Watu Bora wa Mwaka za ALM katika Hoteli ya Ethiopian Skylight jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia Mhe. Innocent Shiyo kwenye hafla ya kila mwaka ya Tuzo za Watu Bora wa Mwaka za ALM katika Hoteli ya Ethiopian Skylight jijini Addis Ababa.
No comments:
Post a Comment