Biashara : Rais Dkt. Mwinyi Atembelea banda la TTCL maonesho ya Sabasaba - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Sunday, 14 July 2024

demo-image

Biashara : Rais Dkt. Mwinyi Atembelea banda la TTCL maonesho ya Sabasaba


4-24
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa Cecil Francis Mkurugenzi wa Miundombinu Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL wakati alipotembelea banda hilo Julai 13,2024 kwenye maonesho ya Biashara ya 48 ya Kimataifa yaliyofungwa rasmi na Rais huyo viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.3-33Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Cecil Francis Mkurugenzi wa Miundombinu Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL wakati alipotembelea banda hilo Julai 13,2024 kwenye maonesho ya Biashara ya 48 ya Kimataifa yaliyofungwa rasmi na Rais huyo viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania TanTrade Bi Latifa M. Khamis.
1-35 2-35 

5-24
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa Cecil Francis Mkurugenzi wa Miundombinu Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL wakati alipotembelea banda hilo Julai 13,2024 kwenye maonesho ya Biashara ya 48 ya Kimataifa yaliyofungwa rasmi na Rais huyo viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *