Biashara : Rais Dkt. Mwinyi Atembelea banda la TTCL maonesho ya Sabasaba - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

14 Jul 2024

Biashara : Rais Dkt. Mwinyi Atembelea banda la TTCL maonesho ya Sabasaba


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa Cecil Francis Mkurugenzi wa Miundombinu Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL wakati alipotembelea banda hilo Julai 13,2024 kwenye maonesho ya Biashara ya 48 ya Kimataifa yaliyofungwa rasmi na Rais huyo viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Cecil Francis Mkurugenzi wa Miundombinu Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL wakati alipotembelea banda hilo Julai 13,2024 kwenye maonesho ya Biashara ya 48 ya Kimataifa yaliyofungwa rasmi na Rais huyo viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania TanTrade Bi Latifa M. Khamis.
 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa Cecil Francis Mkurugenzi wa Miundombinu Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL wakati alipotembelea banda hilo Julai 13,2024 kwenye maonesho ya Biashara ya 48 ya Kimataifa yaliyofungwa rasmi na Rais huyo viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633