Urembo / Elimu : Nelly Kazikazi atwaa Taji la Miss Higher Learning 2017 - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

Sunday 29 October 2017

Urembo / Elimu : Nelly Kazikazi atwaa Taji la Miss Higher Learning 2017



Miss Higher Learning 2017, Nelly Kazikazi, akipunga mkono kwa furaha akiwa na washindi wenzake baada ya kutangazwa rasmi na kuvishwa Taji katika shindano la Miss Vyuo Vikuu lililofanyika usiku wa kuamkia jana kwenye Ukumbi wa King Solomon Namanga Dar es Salaam. Kulia ni mshindi wa pili, Queen Elizabeth Makune (kushoto) ni mshindi wa tatu, Melody Thomas. Picha Zote na Muhidin Sufiani (MAFOTO)

Shindano hilo pia lilipambwa na burudani kutoka kwa wasanii tofauti kama JK Comedian Jukwaani, Msaga sumu na Barnaba Boy.

Sehemu ya wageni waliofika kushuhudia shindano hilo wakiwa katika meza za VIP

Shoo ilianza kama hivi kwa kufungua na shoo ya pamoja


Hatimaye warembo walianza kupita jukwaani na vazi la ubunifu....























Msaga Sumu akitoa burdani

Hatimaye Warembo walianza kupita jukwaani wakia na vazi la Ufukweni
















Majaji wakijadiliana jambo


Dj John Dilinga naye akionyesha shoo, kuigiza umiss



Miss Talent akinyesha jinsi alivyochukua taji hilo.

Hatimaye ukafika muda wa Warembo kupita jukwaani na vazi la usiku.















Ulifika muda wa Barnaba Boy kuwarusha wadau wa urembo ukumbini hapo


Dj Denso kutoka Mafoto City Sound akiwarusha kwa ngoma za Barnaba alipopanda jukwaani

Huku ni nyumba ya Stage warembo wakishoo love



Barnaba Boy akiwachezesha warembo kwa ngoma zake


Warembo wakiwa nyuma ya stage nao wakifuatilia shoo ya Barnaba Boy

Hawa ndiyo warembo wote walioshiriki shindano hilo

Mkurugenzi na mratibu wa shindano hilo, Joseph Musendo akizungumza jukwaani, akiwa na msaidizi wake


Ilipoanza kutangazwa tatu bora

Miss Highlearning 2016, Laura Kway, akimvisha Taji Miss Highlearning 2017, Nelly Kazikazi, baada ya kutangazwa mshindi.

Miss Higher Learning 2017, Nelly Kazikazi, akipunga mkono kwa furaha baada ya kutangazwa mshindi.

No comments:

Post a Comment