Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Dodoma, Rehema Hamis, akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei kufungua semina iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya Wafanyabiashara na Wajasiriamali wa Dodoma wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja. (Picha na Francis Dande).
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akizungumza katika semina hiyo.
Dk. Charles Kimei akipongezwa baada ya kutoa hotuba ya ufunguzi wa semina ya Wafanyabiashara na Wajasiriamali mkoani Dodoma.
Dk. Charles Kimei, akipongezwa na mfanyabiashara wa mkoani Dodoma, Suzana Kweka, baada ya kutoa hotuba yake.
Baadhi ya Wafanyabiashara na Wajasiriamali wa Mkoa wa Dodoma wakiwa katika semina iliyoandaliwa na Benki ya CRDB.
Wafanyabiashara wakiwa katika semina hiyo.
Mkuu wa Kitengo cha Wajasiriamali Benki ya CRDB, Elibariki Masuke (kushoto), akiwa katika semina hiyo.
Baadhi ya maofisa wa Benki ya CRDB wakiwa katika semina hiyo.
Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Dodoma, Rehema Hamis, akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei.
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Mikopo Benki ya CRDB, James Mabula, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, Mkuu wa Kitengo cha Wajasiriamali, Elibariki Masuke, Elibariki Masuke na Mkurugenzi Benki ya CRDB Tawi la Dodoma, Rehema Hamis.
No comments:
Post a Comment