Afya : Maadhimisho ya Siku ya Maradhi ya Akili Duniani Yafanyika Zanzibar. - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


9 Oct 2017

Afya : Maadhimisho ya Siku ya Maradhi ya Akili Duniani Yafanyika Zanzibar.




Wauguzi wakiwa pamoja na Wananchi wakiungana pamoja na vituo mbalimbali vya afya katika maandamano ya maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Afya ya Akili Duniani Kisonge mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.

aadhi ya Watoto wenye maradhi ya akili waliohudhuria katika maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Afya ya Akili Duniani Kisonge mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.

Watoto wenye maradhi ya Akili wakionesha mchezo wa kuokota mbatata mbatata katika maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Afya ya Akili Duniani Kisonge mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.

Watoto wenye maradhi ya Akili wakionesha mchezo wa magunia katika maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Afya ya Akili Duniani Kisonge mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.

Mshindi wa mbio za magunia Salma Khamis Ame kutoka Skuli ya Mwanakwerekwe akipeleka mkono kusalimiana na mgeni Rasmi katika maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Afya ya Akili Duniani Kisonge mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.

Watoto wenye maradhi ya Akili wakishindana katika mashindano ya kula maandazi katika maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Afya ya Akili Duniani Kisonge mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.

Mshindi wa mashindano ya kula maandazi Mahad Said Ali akisalimiana na Mgeni Rasmi Mbunge wa Jimbo la Magomeni Jamal Kassim Ali katika maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Afya ya Akili Duniani Kisonge mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.

Mbunge wa Jimbo la Magomeni Jamal Kassim akicheza muziki pamoja na watoto wenye maradhi ya akili katika maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Afya ya Akili Duniani Kisonge mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.

Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Dk,Fadhil Muhammed Abdalla akitoa hotuba ya makaribisho katika maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Afya ya Akili Duniani Kisonge mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Asha Abdulla Juma akielezea machache kuhusiana na maradhi ya Akili katika maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Afya ya Akili Duniani Kisonge mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.

Mgeni Rasmi ambae ni Mbunge wa Jimbo la Magomeni Jamal Kassim Ali akitoa hotuba katika maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Afya ya Akili Duniani Kisonge mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.


PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad