Maisha : Tutaendelea kupambana na wanaoendeleza vitendo vya ukeketaji-SIHABA NKINGA - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


4 Jan 2017

Maisha : Tutaendelea kupambana na wanaoendeleza vitendo vya ukeketaji-SIHABA NKINGA



Mkurugenzi wa Kituo cha Kulea Watoto waliokimbia Kukeketwa cha (ATFGM-Massanga) kilichopo Tarime Vijijini Sister Stella Mgaya akimkaribisha Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bi. Sihaba Nkinga alipofika wakati wa mahafali ya wasichana 46 waliokimbia ukeketaji.

Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bi. Sihaba Nkinga akisaini kitabu cha wageni alipofika katika Kituo cha Kulea Watoto waliokimbia Kukeketwa cha (ATFGM-Massanga) pembeni ni Mkurugenzi wa Kituo hicho Sister Stella Mgaya.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bi. Sihaba Nkinga akitembelea maeneo mbalimbali katika Kituo cha Kulea Watoto waliokimbia Kukeketwa cha (ATFGM-Massanga).

Baadhi ya watoto waliokimbia ukeketaji wakiwa katika maandano kuelekea eneo walilofanyia mahafali.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bi. Sihaba Nkinga na Mkuu wa Wilaya ya Tarime Bw. Glorious Luoga wakiwaongoza watoto waliokimbia ukeketaji kwenye maandamano wakati wa mahafali leo Tarime.


Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bi. Sihaba Nkinga na Mkuu wa Wilaya ya Tarime Bw. Glorious Luoga wakiangalia baadhi ya bidhaa vilivyotengenezwa na Mangariba waliostaafu (kina mama na Baba wakisasa) wakati wa mahafali ya wasichana 46 waliokimbia ukeketaji.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bi. Sihaba Nkinga akiteta jambo na Mkurugenzi wa Kituo cha Kulea Watoto waliokimbia Kukeketwa cha (ATFGM-Massanga) Sister Stella Mgaya

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bi. Sihaba Nkinga akimkabidhi cheti mmoja ya mhitimu ambaye ni mtoto aliyekimbia ukeketaji kwenye jamii yake na kujiunga na Kituo cha Kulea Watoto waliokimbia Kukeketwa cha (ATFGM-Massanga)

Vijana wakifanya igizo la kupinga Ukeketaji dhidi ya watoto.

Mkurugenzi wa Kituo cha Kulea Watoto waliokimbia Kukeketwa cha (ATFGM-Massanga) Sister Stella Mgaya akiongea wakati wa mahafali mahafali ya wasichana 46 waliokimbia ukeketaji na kushukuru juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na uongozi wa wilaya ya Tarime kukabiliana na tatizo hilo na kuendelea kuomba wadau kujitokeza kuwaendeleza watoto wanaohitimu kituoni hapo.

Mkuu wa Wilaya ya Bunda Bi.Lydia Bupilipili akiongea wakati wa mahafali mahafali ya wasichana 46 waliokimbia ukeketaji na kuwasisitiza wazazi na walezi kubadilika na kuachana na imani potofu ya ukeketaji ili kuwawezesha kutimiza malengo yao.

Mangariba wastaafu(Kina Mama na Kinababa Wakisasa) wakila kiapo cha kuacha na kutoendelea na ukeketaji.



Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bi. Sihaba Nkinga akimkabidhi Moja ya Ngariba Mstaafu (Mama wa Kisasa) cheti kutoka cha mafunzo waliyopewa baada ya kuachana na ukeketaji.

Mkurugenzi wa Kituo cha Kulea Watoto waliokimbia Kukeketwa cha (ATFGM-Massanga) Sister Stella Mgaya akimkabidhi Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bi. Sihaba Nkinga cheti cha utambuzi katika harakati za kukabiliana na ukeketaji.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bi. Sihaba Nkinga akiwakabidhi Mangariba wastaafu(Kina Mama na Kinababa Wakisasa) vitendea kazi watakavyotumia katika shughuli zao mpya baada ya kuachana na ukeketaji na kuamua kujiwekeza katika ujasiriamali.

Mkurugenzi wa Kituo cha Kulea Watoto waliokimbia Kukeketwa cha (ATFGM-Massanga) Sister Stella Mgaya akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Watoto kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi.Margareth Mussai.

Mkuu wa Wilaya ya Tarime Bw. Glorious Luoga akiongea wakati wa mahafali ya watoto waliokimbia kukeketwa na kujiunga katika kituo Watoto waliokimbia Kukeketwa cha (ATFGM-Massanga) ambapo aliwataka wazazi wanaowatenga na kuwalazimisha kuwakeketa watoto waliohitumu mafunzo kuacha tabia hiyo kwani watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bi. Sihaba Nkinga akiongea wakati wa mahafali ya watoto waliokimbia kukeketwa na kujiunga katika kituo Watoto waliokimbia Kukeketwa cha (ATFGM-Massanga) ambapo alisisitiza kuwa serikali itaendelea kuwachukulia hatua wazazi na jamii inayoendelea na kitendo kiovu cha ukeketaji kwa watoto wa kike.


PICHA NA IDARA YA HABARI

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad