Matukio : Usiku wa Zubeir Imani na Zawadi Mohamed Wafana - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Sunday, 25 December 2016

demo-image

Matukio : Usiku wa Zubeir Imani na Zawadi Mohamed Wafana


MMG_1590
Bw. Harusi Zubeir Imani na mkewe, Bi. Zawadi Mohamed wakiyarudi magoma wakati walipokuwa wakiingia ukumbini katika tafrija maalum ya kuwapongeza kwa kuungana kwao, iliyofanyika katika ukumbi wa Kilimanjaro uliopo Viwanja vya Sabasaba, Jijini Dar es salaam jana Desemba 24, 2016.
MMG_1593
MMG_1596
Bw. Harusi Zubeir Imani na mkewe, Bi. Zawadi Mohamed wakiyarudi magoma.
MMG_1601
Maharisi wakiingia ukumbini.
MMG_1615
Mama Mkubwa wa Bwana Harusi akizingumza machache baada ya dua ya ufunguzi wa shughuli hiyo.
MMG_1621
Maharusi wakifungua muziki huku wakiwa wamezungumwa na wapambe wao.
MMG_1645
Bw. Harusi Zubeir Imani na mkewe, Bi. Zawadi Mohamed wakikata keki huku wapambe wao wakishuhudia tukio hilo.
MMG_1650
Maharusi wakilishana keki kwa mtindo wao.
MMG_1667


MMG_1679


MMG_1686


MMG_1728


MMG_1730


MMG_1853


MMG_1901


MMG_1905


MMG_1974


MMG_1987

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *