
Katibu
wa muda Bw. Peter Mushi akifafanua jambo katika mkutano mkuu wa klabu
ya Pan Africa uliofanyika hoteli ya Falcon Mtaa wa Lumumba jijini Dar es
salaam leo.

Katibu wa muda Bw. Peter Mushi akisoma matokeo ya uchaguzi wa uongozi wa Pan Africa uliosimamiwa na kamati
ya uchaguzi pembeni yake ambayo ni toka kushoto Sunday Manara
"Computer:, Mzee Chombinga, Mzee Muhidini Ndolanga na Mzee Mtulia

Katibu
wa muda Bw. Peter Mushi akifafanua jambo baada ya uchaguzi katika
mkutano mkuu wa klabu ya Pan Africa uliofanyika hoteli ya Falcon Mtaa wa
Lumumba jijini Dar es salaam leo.Nyuma yake kutoka kulia ni viongozi
hao wapya ambao ni Salim Zagar (Mwenyekiti) Shabani Kessi Mtambo (Makamu
Mwenyekiti) na wajumbe Kepteni Davis Malikita, Salum Carlos Mwinyimkuu
na Mohamed Mkweche

Sehemu ya wanachama wakiwa katika mkutano mkuu uliofanyika hoteli ya Falcon Mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo.

katika mkutano mkuu uliofanyika hoteli ya Falcon Mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo.

katika mkutano mkuu uliofanyika hoteli ya Falcon Mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo.

katika mkutano mkuu uliofanyika hoteli ya Falcon Mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo.

Mwenyekiti
mpya wa Pan Africa Bw. Salim Zagar akiongea machache na kushukuru kwa
kuchaguliwa kuongoza klabu hiyo kongwe nchini katika mkutano mkuu
uliofanyika hoteli ya Falcon Mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo.

Mwenyekiti Salim Zagar

Makamu Mwenyekiti Shabani Kessi Mtambo
![]() |
| Mohamed Mkweche - Mjumbe |

Salum Carlos Mwinyimkuu - Mjumbe

Mzee Said Mohamed Said - Mjumbe

Kepteni Davis Malikita - Mjumbe

No comments:
Post a Comment