Matukio : JK Atembelea banda la benki ya NMB Saba Saba - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


9 Jul 2016

Matukio : JK Atembelea banda la benki ya NMB Saba Saba


 Meneja wa banda la Benki ya NMB katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam 2016, Josephiner Kulwa  (kushoto), akimkaribisha Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete  alipotembelea banda hilo Dar es Salaam leo asubuhi.
 Hapa Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo.
 Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete akisalimiana na mmoja wa  wafanyakazi wa benki hiyo.
 Meneja wa banda la Benki ya NMB katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam 2016, Josephiner Kulwa (kushoto), akitoa maelezo kwa Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na benki hiyo.
Rais mstaafu Jakaya Kikwete (katikati), akitoka katika banda la Benki ya NMB alipotembelea banda hilo kwenye maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam 2016  yanayoendelea katika viwanja vya Biashara vya Mwalimu Nyerere Dar es Salaam leo . Kulia ni Meneja wa banda hilo, Josephiner Kulwa na Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Edwin Rutageruka. Maonesho hayo yatafikia tamati kesho kutwa.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad