Matukio : BOT Mbeya yafuturisha wadau wake katika sherehe za miaka 50 - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Saturday, 25 June 2016

demo-image

Matukio : BOT Mbeya yafuturisha wadau wake katika sherehe za miaka 50


IMG_5878
Waumini wa dini ya kiislamu Mkoa wa Mbeya pamoja na wadau mbalimbali wakifuturu futali iliyoandaliwa na benki Kuu ya Tanzania (BOT)Tawi la Mbeya ambapo benki hiyo ipo katika kuadhimisha miaka ya hamsini ya kuanzishwa kwake. Picha E.Madafa na D.Nyembe
IMG_5897
Wageni waalikwa ,viongozi wa serikali na viongozi wa dini mbalimbali mkoani Mbeya  wakipita kupata  futari kwenye ukumbi wa benki kuu Tanzania( BOT) tawi la Mbeya .
IMG_5898
Mkurugenzi wa benki kuu Tanzania( BOT) tawi la mbeya  Jovenant Rushaka akiongoza kupata futari.

IMG_5905

IMG_5913
Wafanyakazi benki kuu Tanzania tawi la Mbeya wakipata futari

IMG_5924
Wageni waalikwa Viongozi wa serikali na wadau mbalimbali  wakibadilishana mawazo pamoja na kupata futari iliyoandaliwa na benki kuu Tanzania(BOT) kama sehemu ya kuadhimisha miaka 50 ya kuanzishwa kwa benki hiyo.

IMG_5926
wadau wakipata futari.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *