AMKA NA BBC Juni 10, 2016 Msikilizie Mubelwa Bandio: Obama atangaza rasmi kumuunga mkono Hillary Clinton - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


11 Jun 2016

AMKA NA BBC Juni 10, 2016 Msikilizie Mubelwa Bandio: Obama atangaza rasmi kumuunga mkono Hillary Clinton


Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza kumuunga mkono Hillary Clinton kuwa mgombea urais wa chama cha Democratic katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu nchini Marekani.
Amechukua hatua hiyo muda mfupi baada ya kukutana na seneta wa Vermont Bernie Sanders ambaye amekuwa akikabiliana na Bi Clinton katika kinyang’anyiro cha kumchagua mgombea wa chama hicho.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad