Rais wa Marekani Barack Obama
ametangaza kumuunga mkono Hillary Clinton kuwa mgombea urais wa chama
cha Democratic katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu
nchini Marekani.
Amechukua hatua hiyo muda mfupi baada ya kukutana
na seneta wa Vermont Bernie Sanders ambaye amekuwa akikabiliana na Bi
Clinton katika kinyang’anyiro cha kumchagua mgombea wa chama hicho.
MKURUGENZI MKUU MSD:TUNAYO AKIBA YA KUTOSHA DAWA NA VIFAA TIBA NCHINI
-
-Awatoa hofu Watanzania wanaohofia upungufu wa dawa kutokana na mzozo
mashariki ya kati
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MKURUGENZI Mkuu wa Bohari ya Dawa(MSD)...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment