Rais wa Marekani Barack Obama
ametangaza kumuunga mkono Hillary Clinton kuwa mgombea urais wa chama
cha Democratic katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu
nchini Marekani.
Amechukua hatua hiyo muda mfupi baada ya kukutana
na seneta wa Vermont Bernie Sanders ambaye amekuwa akikabiliana na Bi
Clinton katika kinyang’anyiro cha kumchagua mgombea wa chama hicho.
NAIBU WAZIRI MWANAIDI ATEMA CHECHE MAPAMBANO DHIDI YA UKATILI NA MMOMONYOKO
WA MAADILI
-
*Na WMJJWM-Dodoma*
*Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
ameweka msisitizo kwa kuliomba Bunge na Jamii kwa ujumla kuunga ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment