Maukio : JK ,Waziri Lwenge Wakagua Mitambo ya Maji Wami, Chalinze - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Thursday, 31 December 2015

demo-image

Maukio : JK ,Waziri Lwenge Wakagua Mitambo ya Maji Wami, Chalinze



IMG-20151230-WA0103
Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete (katikati), akizungumza na Waziri wa Maji, Gerson Lwenge wakielekea kukagua mitambo ya kusafisha na kusafirisha maji Wami, katika Halmashauri ya Mji wa Chalinze, mkoani Pwani.
IMG-20151230-WA0101
Rais Jakaya Kikwete na Lwenge wakiangalia mitambo ya kusafisha maji

IMG-20151230-WA0096
Wakiwa katika picha ya pamoja
IMG-20151230-WA0102
Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete , akizungumza na Waziri wa Maji, Gerson Lwenge (kushoto kwake) wakielekea kukagua mitambo ya kusafisha na kusafirisha maji Wami, katika Halmashauri ya Mji wa Chalinze, mkoani Pwani.Wa pili kulia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete.
IMG-20151230-WA0100
Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete akionesha kitu walipotembelea mitambo ya maji Wami
IMG-20151230-WA0098

IMG-20151230-WA0107
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akizungumza na Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Gerson Lwenge katika mitambo hiyo.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *