Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), akishiriki Kikao cha Baraza la Uongozi la Umoja wa Afrika (African Union Bureau of Assembly) kilichofanyika kwa njia ya mtandao, tarehe 26 Machi, 2026, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar.
JK AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA, RAIS MSTAAFU WA MALAWI
DKT. LAZARUS CHAKWERA JIJINI DAR ES SALAAM
-
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete, akiwa na Rais Mstaafu wa Malawi, Dkt. Lazarus Chakwera, ofisini
kwake jij...
29 minutes ago
.jpeg)

.jpeg)
No comments:
Post a Comment