Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), akishiriki Kikao cha Baraza la Uongozi la Umoja wa Afrika (African Union Bureau of Assembly) kilichofanyika kwa njia ya mtandao, tarehe 26 Machi, 2026, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar.
Diarra Afungiwa Mechi Tatu Ligi Kuu,Simba Yatozwa Faini Milioni 10
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Dar es Salaam — Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetoa adhabu mbalimbali
kwa klabu na waamuzi kufuatia matukio ya kinidhamu yaliyo...
7 minutes ago
.jpeg)

.jpeg)
No comments:
Post a Comment