![]() |
| Mkuu wa Wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akisalimiana na wananchi alipofanya ziara katika hosptali teule ya Machame na kuzungumza na wafanyakazi |
![]() |
| Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akizungumza na wafanyakazi wa Hosptali teule ya Machame (hawapo pichani) . |
![]() |
| Baadhi ya iongozi wa Hosptali hiyo na viongozi wa serikali wa wilaya ya Hai. |
![]() |
| Wafanyakazi wa Hosptali teule ya Machame . |
![]() |
| Mkurugenzi wa Hosptali hiyo,Dkt Saitore Laizer akizungumza katika kikao hicho. |
![]() |
| Baadhi ya madktari wa hosptali teule ya Machame. |
![]() |
| Baadhi ya watumishi wa Hosptali hiyo. |
![]() |
| Mwenyekiti wa Chama cha wafanyakazi katika hosptali ya Machame ,Dkt Fredrick Muro akizungumza katika kikao hicho. |
![]() |
| Baadhi ya wafanyakazi. |













No comments:
Post a Comment