Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma Adam Kimbisa muda mfupi baada ya kuwasili
katika uwanja wa ndege wa Dodoma ambapo ataongoza vikao vya Kamati ya
Maadili na Kamati kuu ya CCM vitakavyofanyika katika ukumbi wa White House
Makao Makuu Dodoma.Ndugu kimbisa alikanusha uvumi uliosambazwa katika mitandao ya kijamii
kuwa ameihama CCM. Kushoto ni Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
Picha na Freddy Maro
Rais Dkt. Samia Aelekea Rwanda Kushiriki Mkutano wa Nishati ya Nyuklia
Afrika
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Nye...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment