Katibu
wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi
wa habari asubuhi hii nje ya Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM
Mjini Dodoma, akithibitisha taarifa iliyokuwa ikizagaa mitandaoni ya
Wagombea Urais walioingia katika hatua ya tano bora, ambao aliwataja
kuwa ni Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, Mh. Bernard Membe, Waziri wa
Ujenzi, Dkt. John Magufuli, Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose
Migiro, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Mh. January
Makamba pamoja na Balozi Amina Salum Ali. Majina hayo yanapelekwa kwenye
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kujadiliwa na kupatikana matatu
yatakayopelekwa kwenye Mkutano Mkuu na kupatikana moja ambaye ndie
atakuwa Mgombea Urais.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Serengeti: Untamed.
-
VAST. RELENTLESS. ALIVE.
Forget everything you know about time.
Witness the relentless thunder of the Great Migration. Track the ancient
...
Michezo : New King Imeichapa Malindi Bao 2-1
-
Mchezaji wa Timu ya Malindi akimiliki mpira akijiandaa kumpita beki wa Timu
ya New King, katika mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2-25 /2026 mchezo
uliyo...
No comments:
Post a Comment