Mchezaji wa Timu ya Malindi akimiliki mpira akijiandaa kumpita beki wa Timu ya New King, katika mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2-25 /2026 mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya New King imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
Akwilapo Atangaza Vita Dhidi ya Uzembe Sekta ya Ardhi, Azindua “Samia Ardhi
Kliniki” Kuimarisha Haki za Wananchi
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo,
ameutumia uzinduzi wa “Samia Ardhi Kliniki” jijini Da...
6 hours ago










No comments:
Post a Comment