Matukio : Rais wa Msumbiji Mhe. Nyusi Apata Mapokezi Makubwa, Rais Jakaya Kikwete Ahudhuria - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Monday, 18 May 2015

demo-image

Matukio : Rais wa Msumbiji Mhe. Nyusi Apata Mapokezi Makubwa, Rais Jakaya Kikwete Ahudhuria

n8
 Rais Nyuzi akitelemka katika ndege baada ya kuwasili
n10
 "....Karibu nyumbani..." anasema Rais Kikwete anapomlaki Rais Nyusi
n11
 Wanakumbatiana kwa furaha
n1
 Msanii wa kikundi cha ngoma ya Mganda akitumbuiza  wakati wa mapokezi ya Rais wa Msumbiji Mhe Filipe Nyusi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere
n2
 Ngoma ya mganda 
n3
 Sindimba 
n4
 Kinamama wa kikundi cha Mount Usambara hawako nyuma
n5
 Rais Kikwete akisogea sehemu ya kumpokea mgeni
n6
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe akisalimiana na balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe  Shamim Nyanduga. Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) Mhe Hawa Ghasia
n7
 Rais Kikwete akiongea na Flower girl Elizabeth Jackson aliye tayari kumkabidhi mgeni shada
 
n12
 Rais Nyusi anapokea shada la maua kutoka kwa mtoto Elizabeth
n13
 Rais Nyusi anamshukuru Elizabeth kwa maua
n14
 Rais Nyusi akitambulishwa kwa balozi Shamim Nyanduga
n16
 Rais Nyusi akitambulishwa kwa mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Saidi Mwambungu
n17
 Rais Nyusi akitambulishwa kwa wasaidizi wa Rais
n20
 Rais Kikwete na Mgeni wake wanasimama jukwaa maalumu wakati wa nyimbo za Taifa zikipigwa
n21
 Askari hodari wakipiga mizinga 21 kwa mbali kule
n22
 Rais Nyusi anakaribishwa kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa heshima yake
n23
 Rais Nyusi anakagua gwaride 
n24
 Rais Nyusi anaendelea kukagua gwaride 
n26
 Rais Kikwete anatambulishwa wa ujumbe alioongozana nao Rais Nyusi
n27
 Rais Nyusi anafurahia ngoma
n28
 Rais Nyusi anawasili hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro na kulakiwa na meneja mkuu wake
n30
 Rais Kikwete akitambulishwa kwa maafisa waliooongozana na Rais Nyusi
n32
 Mamia ya wananchi wakimsubiri mgeni Ikulu
n33
 Rais Kikwete akiongea na badhi ya vijana waliojitokeza kumpokea Rais Nyusi Ikulu
n34
  Rais Kikwete akiongea na badhi ya vijana waliojitokeza kumpokea Rais Nyusi Ikulu
n35
  Rais Kikwete akiongea na badhi ya vijana waliojitokeza kumpokea Rais Nyusi Ikulu
n36
  Rais Kikwete akiongea na badhi ya vijana waliojitokeza kumpokea Rais Nyusi Ikulu
n37
 Zuria jekundu na wananchi vikimsubiri mgeni
n40
 Rais Nyusi alakiwa kwa nderemo
n41
  Rais Nyusi akilakiwa kwa shangwe
n43
 Rais Kikwete akipeana mkono na mgeni wake baada ya mapokezi makubwa
n44
 Sehemu ya wanahabari wa Tanzania na Msumbiji wakiwa kazini 
n46
 Rais Kikwete katika mazungumzo rasmi na mgeni wake 
n49
 Rais Nyusi akimkabidhi mwenyeji wake zawadi
n50
 Rais Kikwete akimkabidhi mgeni zawadi yake
n51
 Rais Kikwete na mgeni wake wakiongea kabla ya dhifa ya kitaifa aliyomwandalia
n52
 Rais Kikwete na mgeni wake na mawaziri wa nchi zao wakiongea kabla ya dhifa ya kitaifa aliyomwandalia
n53
  Rais Kikwete na mgeni wake katika dhifa ya kitaifa aliyomwandalia
n54
  Rais Kikwete akihutubia wakati wa  dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Rais Nyusi
n56
 Rais Kikwete agonganishwa glasi na mgeni wake wakati wa  dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Rais Nyusi
n58
 Rais Nyusi akitoa hotuba yake
n59
 Sehemu ya mawaziri na mabalozi
n60
 Sehemu ya viongozi mbalimbali
n61
 Mabalozi wa nchi mbalimbali walioalikwa
n62
 Mabalozi
n63
 Mawaziri na mabalozi
n64
 Rais Kikwete akigonganisha glasi na mgeni wake
n65
 Mawaziri wakigonganisha glasi
n66
 Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba na waalikwa wengine
n67
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Paul Makonda (kushoto), Mbunge wa Singida Mhe. Mo Dewji, Mwenyekiti wa Yanga Bw. Yusuf Manji na Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF Bw. Godfrey Simbeye
n68
Baadhi ya maafisa wa protokali wa Wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa. Picha zote na IKULU

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *